In English Arusha, Tanzania, 7 Mei 2019 – Leo inaashiria siku muhimu sana katika vita vya Tanzania dhidi ya sumu kuvu hatari katika mazao ya vyakula muhimu ya nchi – karanga na mahindi. Mkataba wa Kuhamisha Teknolojia na Makubaliano ya Leseni (TTLA) ulisainiwa ili kuwezesha uzalishaji wa ndani na usambazaji wa kinga hii ya sumu …
Wadau wakutana kujadili jinsi ya kuanza uzalishaji mkubwa wa teknolojia ya kupambana na sumukuvu, Aflasafe TZ, nchini Tanzania
News item in English DAR ES SALAAM, TANZANIA, Septemba 3, 2018 – Tanzania inajiunga na mataifa mengine barani Afrika katika kukabiliana na sumukuvu kwa kuingiza teknolojia ya kukabiliana na tatizo hilo kwenye chakula cha binadamu na mifugo. Sumukuvu ni chanzo kikubwa cha magonjwa ya kansa. Kwa kutumia teknolojia hiyo inayotambuliwa kama Aflasafe TZ, Tanzania itajihakikishia …